Thursday, March 3, 2016

Njia Rahisi Ya Kuwezesha PC Yako Kuwa Wi-Fi Hotspot

Hotspot ni huduma inayopatikana mahali fulani (physical location) inayomuwezesha mtumiaji mwenye kifaa cha kielectroniki kilicho na uwezo wa kutumia wireless connection, kuweza kujiunga na kutumia internet.  Kwa kifupi, ni mahali ambapo unaweza unga laptop, tablet computer au smartphone yako na kutumia internet bila ya kuunga nyaya zozote (wirelessly). Mara nyingi hotspot hupatikana maeneo kama ya vyuo, mahotelini, sehemu za wazi za kujipumzisha au migahawani. Kutokana na ukuaji wa teknolojia, siku hizi smartphone zina uwezo wa kuwa Wi-Fi Hotspot pia.
Wengi wetu tunamiliki smartphones na hivyo suala la kushare Portable Wi-Fi Hotspot kati yetu ni dogo sana, ni kiasi cha kwenda kwenye settings na kuwasha tu, lakini mambo hayapo hivyo kwenye upande wa kompyuta. Watumiaji wengi wa PC hutumia Wi-Fi kutoka sehemu fulani lakini hukwama pale linapokuja jambo la kuwezesha PC zao kuwa hotspot. Kuwezesha PC kuwa Wi-Fi Hotspot inawezekana, lakini huhitaji utaalamu kidogo katika kuweza fanikisha jambo hili. IIi kufanikisha
jambo hili wengine huchagua kucheza na configuration settings na kuwezesha hotspot "manually" na wengine hubidi kuweka software mbadala kwa ajili ya kufanya kazi hiyo. Si mara zote machaguo hayo hufanikiwa, kwa mfano, software kama Connectify ambayo kazi yake kubwa ni kuwezesha huduma ya hotspot katika PC hukumbana na tatizo la kushindwa kuwa installed katika kompyuta husika kutokana na kukosa vigezo (incompatibility issues). Si hivyo tu, hata wakati wa kuitumia inaweza isikupe kile ambacho ulitarajia, pengine kasi ya internet ikawa ni ndogo.

Upo umuhimu wa kuwezesha PC kuwa na hotspot, kwa mfano,  kwa wale ambao wanatumia vifaa vyenye uwezo wa kutumia wireless connection (Wi-Fi) kama vile tablet au hata simu unaweza kutumia modem kuunga internet kwenye kompyuta kisha kuwezesha kompyuta hiyo kuwa hotspot ili kuunga vifaa vyako pia viweze kutumia internet. Pia unaweza kutumia njia hii kuunga internet kwenye kompyuta zaidi ya mbili pamoja na vifaa vingine kadhaa kutoka katika chanzo kimoja (hotspot).

Njia rahisi na mbadala ya kuwezesha hotspot kwenye PC yako ni kwa kutumia software inayoitwa Baidu PC Faster inayotolewa na Baidu International. PC Faster ni utility software ikiwa na features kama cleaner, antivirus engine na speedup tools bila kusahau feature tunayozungumzia, Wi-Fi Hotspot tool. Huna sababu ya kuanza kuwaza kuhusu gharama ya software hii au kwa wale wengine kuanza kutafuta "njia mbadala" za kuipata, kama ilivyo kwa bidhaa nyingine za Baidu International na hii pia ni "Free Forever, with no hidden or in-app payments", ikimaanisha "Bure milele, bila malipo yoyote yaliyofichwa" (kama wasemavyo wenyewe).



Hauhitaji utaalamu wowote katika kutumia software hii, baada ya kuidownload na kuinstall, ifungue na nenda kwenye sehemu inayoonyesha Wi-Fi Hotspot au unaweza kupitia shortcut ya Wi-Fi Hotspot itayokuwepo kwenye desktop, utahitaji kuweka Wi-Fi name pamoja na password,  Baada ya hapo start Wi-Fi.

Features ndani ya Baidu Wi-Fi Hotspot
  • Mwonekano (User Interface) mzuri na rahisi kutumia. 
  • Uwezo wa kudhibiti vifaa vilivyounganishwa (blocking and blacklisting devices).
  • Kutuma na kupokea makabrasha (files) baina ya vifaa vilivyounganishwa.
Link:
Je, umetumia na imekufaa? Usisite kutoa maoni yako, pia mjulishe na jirani pengine na yeye itamfaa.

JINSI YA KU-ROOT SIMU ZA ANDROID



Habari wapendwa nipo pamoja nanyi mpaka kieleweke leo tuzungumzie japo kwa uchache maelezo ya kufanya Root kwenye simu zetu za android 

kabla ya kuanza kuroot simu yako kutabatilisha warranty na muuzaji wako aliyekuuzia , pi root at your  own risk i will not be hold responsible for any negative outcomes




ANDROID ROOTING NI NINI?
Ni mchakato wa kuruhusu watumiaji wa smartphones, Tablet na vifaa vingine vinavyotumia Oparetion sysetm ya android kupata uwezo  kukiendesha kifaa au simu ya android katika kiwango cha hali ya juu
Rooting mara nyingi hutumika kwa lengo la kuondo overcome limitations ambazo zimewekwa na watengenezaji wa vifaa vya android 

FAIDA ZA KU-ROOT
Rooting ina faida nyingi kama vile kubadiri ROOM, Kuinstall  system  installed app ku install apps ambazo zinahitaji root  access kama vile TITANIUM BACK UP






JINSI YA KUROOT
Ku root android devices kunatofautiana kati ya simu na simu , hapa nitakupatia njia za ku root baadhi ya simu na baadhi ya vision za android

1) Huawei Idoes U8150
  • wengi wetu tuna miliki simu aina hii HUAWEI IDOES U8150 simu ya aina hii ni rahisi sana fuata utaratibu huu

Kisha zima simu yako kisha iwashe utakuta app inayoitwa SuperUser imeongezeka mpaka hapo utakuwa umesha root simu yako ya HUAWEI IDOES U8150

Natumai tutakuwa tumepata mwanga japo kwa uchache kuhusu Rooting kwenye simu zetu za android
 
 AU;
 
 
 
 

Njia rahisi kabisa ya kuroot smartphone ya Android OS.

Kipindi cha nyuma nilishawahi kuelezea katika blogu hii maana ya rooting. Katika operating system ya Android, rooting ni mchakato wa kufungua mfumo(system) wa Android ili kuweza kupata uwezo zaidi wa kuitawala smartphone yako. Operating system huwa na makabrasha(files and folders) ambayo huwezi pata uwezo wa kuyafanya chochote mpaka utapofanya mchakato wa rooting.
Unaporoot smartphone ya Android tunasema kwamba umepata "system privileges" ikimaanisha kwamba una vipaumbele vya kuweza kuitawala operating system ya simu yako. Hii itakuwezesha kufuta apps zilizopo katika system, kuzifanya apps unazodownload katika playstore kuwa apps za system(changing application softwares into system softwares), kubadili maandishi(fonts), kuweka operating systems zisizo rasmi(custom roms) na mengineyo mengi.
Kuna njia ambazo hutumika ili kuwezesha rooting kukamilika. Unaweza tumia programu za kompyuta au programu(apps) za Android, inategemea na njia unayochagua kutumia. Kuna baadhi ya njia ambazo hupunguza ugumu wa mchakato huu. Nitaelezea njia moja ambayo kwa sasa ni rahisi sana na inakubali katika smartphone za aina nyingi mno kuanzia Huawei mpaka HTC.
Njia hii hutumia programu(app) ambayo utaidownload na kuinstall katika smartphone yako, app inafahamika kama Towelroot. Kwa kutumia app hii, rooting ni mchakato wa dakika moja tu!. Nitaeleza hatua za mchakato huu. 
1. Katika smartphone yako ya Android ingia katika internet browser uliyonayo na kisha tembelea address hii: http://towelroot.com au unaweza ingia moja kwa moja kupitia hapa. Kisha bonyeza alama ya lambda ili kuweza kudownload file la Towelroot. 
Bonyeza lambda ili kuweza download towelroot.apk
2. Baada ya kukamilisha kudownload towelroot.apk, ingia katika settings za smartphone yako na kisha nenda katika security. Ndani ya security tafuta mahala palipoandikwa "unknown sources", hakikisha sehemu hii ipo activated.

Hutaweza install "towelroot.apk" kama unknown sources ipo deactivated.

3. Baada ya kukamilisha hatua ya pili, rudi katika internet browser yako kisha install "towelroot.apk".

4. Baada ya kufanya installation, fungua app ya towelroot katika menu yako. Baada ya kufunguka, bonyeza palipoandikwa "make it ra1n" .


Hakikisha simu yako ina mtandao(internet) wakati unafanya hatua hii.

5. Kama rooting imekubali katika smartphone, utatokea ujumbe unaoonekana hapo chini katika screenshot. Kama smartphone yako itakataa kuwa rooted kwa hii app itajizima na kujiwasha, hakutakuwa na madhara yoyote.


Kufikia hatua hii, smartphone yako inakuwa rooted.
 6. Baada ya hapo, utahitaji kudownload app kwa ajili ya kupata ruhusa za kuingia katika system ya Android. App hii inaitwa Super User(SuperSU). Utaipata Playstore, ingia Playstore na kisha tafuta "SuperSU" halafu install.

                                           



 7. Baada ya installation, fungua SuperSU na kisha update kwa kuchagua continue, updte kwa kutumia "normal". 

                                           




   8. Baada ya ujumbe unaoonekana hapo chini kukamilika kwa kusema "installation complete". Hapo utakuwa tayari umesharoot smartphone yako ya Android, tayari kuitumia kama Super User. Utahitajika kureboot na baada ya hapo unakuwa umekamilisha mchakato mzima.

                                            
Ili kuangalia kama mchakato wa kuroot umefanikiwa kabisa, unaweza kutumia app ambayo inafanya kazi ya kuangalia root access kwenye simu yako, chagua langu huwa ni hii hapa ambayo inapatikana PlayStore "Root Checker". Lakini zipo nyingi sana playstore, chaguo ni lako
 

Jinsi ya kutumia whatsapp bila namba ya simu

How To Use Whatsapp Without Any Number
Just think about using whatsapp without registering any number, that will be very cool as you will be using the whatsapp anonymously.

Steps To Use Whatsapp without Registering any number :-

  1. First of all, Save your complete Whatsapp data to your phone and uninstall the existing Whatsapp account.
  2. Now, switch your phone to Airplane Mode then Download and Install new Whatsapp on your phone.
  3. After that, go with on-screen instructions and put your phone number there, don’t it will not send the message as your phone is on flight mode.
  4. Now, it will ask you to select an alternative method to select for verification of your number. Then you need to select Check Through SMS.
  5. Afterwards, enter your email address and Click on Submit button. Then immediately click on Cancel button.
  6. Now you need to install spoof messages apps for your device. If you have
    iPhone then install Fake-A-Message and
    if you have Android phone then install Spoof Text Message.
  7. After that, go to Outbox and send the detail to spoofed verifications. Use these details for that; To: +447900347295 From: Country Code, Mobile Number and Message: Your Email ID.
  8. Now, these details will be sent to that false number and you may use that number for the verification of your Whatsapp account.
  9. Done!
So above is all about the method for Use Whatsapp without Registering any number. By this method you can easily use whatsapp without registering any number as you can chat anonymously with your friends. And you can simply implement this method by just following the few steps that we have mentioned above. hope you like the trick and don’t forget to share this cool whatsapp trick with your friends. leave a comment below if you facing any trouble at any step.



Whatsapp Tricks 2016 and Whatsapp Hacks

Best Whatsapp Tricks 2016 and Whatsapp Hacks 2016

 Whatsapp is the most popular messaging app today. There are about millions of peoples which are using whatsapp on their android,Iphones and on many other plateforms. Whatsapp provides very attractive features like medial sharing and cross plateform support .Now how will you feel while hacking someone’s whatsapp like hacking your friend’s whatsapp will be a great fun. Now a day many people think that it is impossible to hack someone’s whatsapp as there is no need of any username and password in it.

How To Hack Whatsapp Account

In this post i will tell you the two methods by which you can easily Hack Whatsapp Account.
Also Read: How To Use Whatsapp Without Any Number

#1 Method: MAC Spoofing:

Requirements for Android:

Requirements for iOS:

  • MacDaddy X or WifiSpoo

Steps To Hack Whatsapp by MAC Spoofing:

  1. First of all completely uninstall Whatsapp app on your phone.
    Uninstall Whatsapp
    Uninstall Whatsapp
  2. Now obtain the phone of the victim whose whatsapp you want to hack.
    MAC Address
    MAC Address
  3. Now note down the MAC address of the phone.
    Finding MAC Address of Android
    For Android, go to Settings – About phone – Status – WI-Fi MAC address.
    For iPhone, go to Settings – General – About – WI-Fi Address.
    For Windows phone, find this in Settings – About – More info – MAC address.
    For BlackBerry, go to Options – Device – Device and Status info – WLAN MAC.
    MAC adress is like  01:73:62:82:78:cd etc.
  4. Now note down the MAC address your phone’s MAC address also.
  5. Now we will change MAC addess of our phone for this you have to install a application.
    Android user install the app :- BusyBox and Terminal Emulator.
    Iphone user will install the app:- MacDaddy X or WifiSpoof.
    How To Hack Whatsapp Account 2015
  6. Now open app, in the terminal, type ip link show to see a list of interfaces. Identify the one that has your MAC address — for this example, we’ll use the eth0 interface. In the terminal emulator, enter “IP link set eth0 address XX:XX:XX:XX:XX:XX” and “ip link set eth0 broadcast XX:XX:XX:XX:XX:XX”, where eth0 is the interface you identified and XX:XX:XX:XX:XX:XX is your target’s MAC address. To check that you’ve successfully changed your MAC address, enter ip link show eth0.
  7. Now Install the Whatsapp in your mobile and enter the victim mobile number in registering and then take the victim mobile and enter the code and delete the message from his/her mobile.
Thats it you are done . Now if you want to registered your mobile number back the simply change the MAC address to your Default MAC addres which you have noted before.

#2 Method: Using Spy App

Spy apps are the application which keeps track on someone’s device activity silently. Now to spy someone’s whatsapp you have to install spy app on victim mobile phone. For this purpose MySpy app is best . you just have to install this app on your friend’s phone and setup Whatsapp Spy and then you have to enter your spy account which you can make earlier doing this.
Now when you install this app on victim’s phone and seup all settings this app will silently upload all the messages to your MySpy account which you have ser in victim’s phone. By this you can easily hack someone’s whatsapp and read its messages by logging in to your MySpy account.

There are two methods above listed for Hack Whatsapp Account. By these methods you can easily hack anyone’s whatsapp account. And you can have track on every messages arriving on that android phone.

C Programming :: Control Instructions

1.  How many times "IndiaBIX" is get printed?
#include<stdio.h>
int main()
{
    int x;
    for(x=-1; x<=10; x++)
    {
        if(x < 5)
            continue;
        else
            break;
        printf("IndiaBIX");
    }
    return 0;
}
A. Infinite timesB. 11 times
C. 0 timesD. 10 times
Answer: Option C
Explanation:
No answer description available for this question.
Let us discuss.


2.  How many times the while loop will get executed if a short int is 2 byte wide?
#include<stdio.h>
int main()
{
    int j=1;
    while(j <= 255)
    {
        printf("%c %d\n", j, j);
        j++;
    }
    return 0;
}
A. Infinite timesB. 255 times
C. 256 timesD. 254 times
Answer: Option B
Explanation:

The while(j <= 255) loop will get executed 255 times. The size short int(2 byte wide) does not affect the while() loop.

3.  Which of the following is not logical operator?
A. &B. &&
C. ||D. !
Answer; Option A Explanation:

Bitwise operators: & is a Bitwise AND operator.
Logical operators: && is a Logical AND operator. || is a Logical OR operator. ! is a NOT operator.
So, '&' is not a Logical operator.

4.  In mathematics and computer programming, which is the correct order of mathematical operators ?
A. Addition, Subtraction, Multiplication, Division
B. Division, Multiplication, Addition, Subtraction
C. Multiplication, Addition, Division, Subtraction
D. Addition, Division, Modulus, Subtraction
Answer: Option B
Explanation:

Simply called as BODMAS (Brackets, Order, Division, Multiplication, Addition and Subtraction).
Mnemonics are often used to help students remember the rules, but the rules taught by the use of acronyms can be misleading. In the United States the acronym PEMDAS is common. It stands for Parentheses, Exponents, Multiplication, Division, Addition, Subtraction. In other English speaking countries, Parentheses may be called Brackets, or symbols of inclusion and Exponentiation may be called either Indices, Powers or Orders, and since multiplication and division are of equal precedence, M and D are often interchanged, leading to such acronyms as BEDMAS, BIDMAS, BODMAS, BERDMAS, PERDMAS, and BPODMAS.
For more info: http://en.wikipedia.org/wiki/Order_of_operations


5.  Which of the following cannot be checked in a switch-case statement?
A. CharacterB. Integer
C. FloatD. enum
Answer: Option C
Explanation:

The switch/case statement in the c language is defined by the language specification to use an int value, so you can not use a float value.

switch( expression )
{
    case constant-expression1:    statements 1;
    case constant-expression2:    statements 2;    
    case constant-expression3:    statements3 ;
    ...
    ...
    default : statements 4;
}
The value of the 'expression' in a switch-case statement must be an integer, char, short, long. Float and double are not allowed.


Find Output of Program

1.  What will be the output of the program?
#include<stdio.h>
int main()
{
    int i=0;
    for(; i<=5; i++);
        printf("%d", i);
    return 0;
}
A. 0, 1, 2, 3, 4, 5B. 5
C. 1, 2, 3, 4D. 6
Answer: Option D
Explanation:

Step 1: int i = 0; here variable i is an integer type and initialized to '0'.
Step 2: for(; i<=5; i++); variable i=0 is already assigned in previous step. The semi-colon at the end of this for loop tells, "there is no more statement is inside the loop".

Loop 1: here i=0, the condition in for(; 0<=5; i++) loop satisfies and then i is incremented by '1'(one)
Loop 2: here i=1, the condition in for(; 1<=5; i++) loop satisfies and then i is incremented by '1'(one)
Loop 3: here i=2, the condition in for(; 2<=5; i++) loop satisfies and then i is incremented by '1'(one)
Loop 4: here i=3, the condition in for(; 3<=5; i++) loop satisfies and then i is increemented by '1'(one)
Loop 5: here i=4, the condition in for(; 4<=5; i++) loop satisfies and then i is incremented by '1'(one)
Loop 6: here i=5, the condition in for(; 5<=5; i++) loop satisfies and then i is incremented by '1'(one)
Loop 7: here i=6, the condition in for(; 6<=5; i++) loop fails and then i is not incremented.

Step 3: printf("%d", i); here the value of i is 6. Hence the output is '6'.

2.  What will be the output of the program?
#include<stdio.h>
int main()
{
    char str[]="C-program";
    int a = 5;
    printf(a >10?"Ps\n":"%s\n", str);
    return 0;
}
A. C-programB. Ps
C. ErrorD. None of above
Answer: Option A
Explanation:

Step 1: char str[]="C-program"; here variable str contains "C-program".
Step 2: int a = 5; here variable a contains "5".
Step 3: printf(a >10?"Ps\n":"%s\n", str); this statement can be written as


if(a > 10)
{
    printf("Ps\n");
}
else
{
    printf("%s\n", str);
}
Here we are checking a > 10 means 5 > 10. Hence this condition will be failed. So it prints variable str.
Hence the output is "C-program".


3.  What will be the output of the program?
#include<stdio.h>
int main()
{
    int a = 500, b = 100, c;
    if(!a >= 400)
        b = 300;
    c = 200;
    printf("b = %d c = %d\n", b, c);
    return 0;
}
A. b = 300 c = 200B. b = 100 c = garbage
C. b = 300 c = garbageD. b = 100 c = 200
Answer: Option D
Explanation:

Initially variables a = 500, b = 100 and c is not assigned.
Step 1: if(!a >= 400)
Step 2: if(!500 >= 400)
Step 3: if(0 >= 400)
Step 4: if(FALSE) Hence the if condition is failed.
Step 5: So, variable c is assigned to a value '200'.
Step 6: printf("b = %d c = %d\n", b, c); It prints value of b and c.
Hence the output is "b = 100 c = 200"
 
 

4.  What will be the output of the program?
#include<stdio.h>
int main()
{
    unsigned int i = 65535; /* Assume 2 byte integer*/
    while(i++ != 0)
        printf("%d",++i);
    printf("\n");
    return 0;
}
A. Infinite loop
B. 0 1 2 ... 65535
C. 0 1 2 ... 32767 - 32766 -32765 -1 0
D. No output
Answer: Option A
Explanation:

Here unsigned int size is 2 bytes. It varies from 0,1,2,3, ... to 65535.
Step 1:unsigned int i = 65535;
Step 2:
Loop 1: while(i++ != 0) this statement becomes while(65535 != 0). Hence the while(TRUE) condition is satisfied. Then the printf("%d", ++i); prints '1'(variable 'i' is already increemented by '1' in while statement and now increemented by '1' in printf statement) Loop 2: while(i++ != 0) this statement becomes while(1 != 0). Hence the while(TRUE) condition is satisfied. Then the printf("%d", ++i); prints '3'(variable 'i' is already increemented by '1' in while statement and now increemented by '1' in printf statement)
....
....

The while loop will never stops executing, because variable i will never become '0'(zero). Hence it is an 'Infinite loop'.


5.  What will be the output of the program?
#include<stdio.h>
int main()
{
    int x = 3;
    float y = 3.0;
    if(x == y)
        printf("x and y are equal");
    else
        printf("x and y are not equal");
    return 0;
}
A. x and y are equalB. x and y are not equal
C. UnpredictableD. No output 

C Programming :: Pointers

General Questions;

1.  What is (void*)0?
A. Representation of NULL pointer
B. Representation of void pointer
C. Error
D. None of above
Answer: Option A
Explanation:
No answer description available for this question.
 Let us discuss.


2.  Can you combine the following two statements into one?
char *p;
p = (char*) malloc(100);
A. char p = *malloc(100);
B. char *p = (char) malloc(100);
C. char *p = (char*)malloc(100);
D. char *p = (char *)(malloc*)(100);
Answer: Option C
Explanation:
No answer description available for this question.
Let's discuss


3.  In which header file is the NULL macro defined?
A. stdio.hB. stddef.h
C. stdio.h and stddef.hD. math.h
Answer: Option C
Explanation:
The macro "NULL" is defined in locale.h, stddef.h, stdio.h, stdlib.h, string.h, time.h, and wchar.h.


4.  How many bytes are occupied by near, far and huge pointers (DOS)?
A. near=2 far=4 huge=4B. near=4 far=8 huge=8
C. near=2 far=4 huge=8D. near=4 far=4 huge=8
Answer: Option A
Explanation:
near=2, far=4 and huge=4 pointers exist only under DOS. Under windows and Linux every pointers is 4 bytes long.


5.  If a variable is a pointer to a structure, then which of the following operator is used to access data members of the structure through the pointer variable?
A. .B. &
C. *D. ->
Answer: Option D
Explanation:
No answer description available for this question.  
Let us discuss.


6.  What would be the equivalent pointer expression for referring the array element a[i][j][k][l]
A. ((((a+i)+j)+k)+l)B. *(*(*(*(a+i)+j)+k)+l)
C. (((a+i)+j)+k+l)D. ((a+i)+j+k+l)
Answer: Option B
Explanation:
No answer description available for this question
. Let us discuss.


7.  A pointer is
A. A keyword used to create variables
B. A variable that stores address of an instruction
C. A variable that stores address of other variable
D. All of the above
Answer: Option C
Explanation:
No answer description available for this question.
 Let us discuss.


8.  The operator used to get value at address stored in a pointer variable is
A. *B. &
C. &&D. ||
Answer: Option A
Explanation:
No answer description available for this question.
Let us discuss.

C Programming :: Declarations and Initializations

True / False Questions:

1.  A long double can be used if range of a double is not enough to accommodate a real number.
A. TrueB. False
Answer: Option A
Explanation:

True, we can use long double; if double range is not enough.
double = 8 bytes.
long double = 10 bytes.


2.  A float is 4 bytes wide, whereas a double is 8 bytes wide.
A. TrueB. False
Answer: Option A
Explanation:

True,
float = 4 bytes.
double = 8 bytes.


3.  If the definition of the external variable occurs in the source file before its use in a particular function, then there is no need for an extern declaration in the function.
A. TrueB. False
 
   

4.  Size of short integer and long integer can be verified using the sizeof() operator.
A. TrueB. False
Answer: Option A
Explanation:

True, we can find the size of short integer and long integer using the sizeof() operator.
Example:

#include<stdio.h>
int main()
{
    short int i = 10;
    long int j = 10;
    printf("short int is %d bytes.,\nlong int is %d bytes.",
            sizeof(i),sizeof(j));
    return 0;
}
Output:
short int is 2 bytes.
long int is 4 bytes
.

5.  Range of double is -1.7e-38 to 1.7e+38 (in 16 bit platform - Turbo C under DOS)
A. TrueB. False
Answer: Option B
Explanation:

False, The range of double is -1.7e+308 to 1.7e+308.

6.  Size of short integer and long integer would vary from one platform to another.
A. TrueB. False
Answer: Option A
Explanation:

True, Depending on the operating system/compiler/system architecture you are working on, the range of data types can vary.


7.  Range of float id -2.25e+308 to 2.25e+308
A. TrueB. False
Answer: Option B
Explanation:

False, The range of float is -3.4e+38 to 3.4e+38.